Duh aisee imebidi niende niitafute hii habari, watu wanyama sana atakuwa amesukumwa na madawa huyu. Jamaa yake alikuwa anamshutumu kwa uzinzi.
Huyo binti ameolewa akiwa na miaka 12, na mpaka anafanyiwa huo unyama tayari alikuwa na mtoto wa miaka 3
View attachment 2118088