Vituko mitandaoni. Tupia chako

Watu bado hawajifunzi tu kushadadia shadadia vitu ovyo na hujui kesho huyo mtu unayemsema utakutana nae wapi...alimsema diamond mwisho wa siku kaja kumuomba ugali huyo huyo hajifunzi tu umbwa huyu
Huyu Diva ni Msanii wa fani gani mkuu?
Maana hawa wasanii wa hapa nyumbani siwakubali aise
Nadhani aliyesema Nabii hakubaliki kwao hajakosea. MNISAMEHE
Nani huyo jomba
 
Mpka nmehis njaa ghafla, sema huo ugali hapana rang yake inanikatsha tamaa.....
 
Maisha yanaenda kasi sana.
Huyu mmiliki wa bastora sijui yuko wapi siku hizi?View attachment 2074911
Huyu kwanza anahamishwa anapelekwa Mafia akifika anaambiwa Barua ilikosewa ni Ukerewe, kule Ukerewe anaambiwa mshahara haujaja file liko Itilima. Itilima anapewa Barua ya kufukuzwa kazi Kwa kosa la kutoripoti kazini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…