Uvi-CCM wamekupigania sana mama dhidi ya Mgalilaya. Wakumbuke tu kwenye hivyo vinafasi na usiwanange na Kiswahili chako fasaha hichi! View attachment 2072095
Mimi ni mbishi kutumia net..unajua wale wabishi? Ila safari hii nimenawa mikono nimeenda kutafuta net nikiwa na akili zangu timamu bila hata kushawishiwa na mtu. Sio kwa mbu hawa aisee