Vituko mitandaoni. Tupia chako

aki mods wananitafutia ubaya na wananch wenzangu
, wanabadli like kuwa dslike
.

sasa hiv nitaanza kuweka
au
, pole mwananchi mwenzangu hata me nmeshtushwa
Muone huyu Manka.

Meme zote za kuwatania Wachaga unanilima dislike...na zingine kibao!

Ningekuwa nawalima dislike wote wanaotania Wasukuma ningekuwa king wa dislike


Ukinikasirisha nitakutafuta physically nilipize hizi dislikes ohooo!!!


Ila relax. Tunataniana tu bana na kucheka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…