Viongozi wote wa Kitaifa hasa Rais hawafati sheria japo wanatuaminisha shaeria zipo na tuzifate
Magufuli alikuwa anatvunja sheria na akiona sheria hiyo inakuwa ngumu zaidi kuvunja anatunga sheria mpya au kubadilisha sheria hiyo ili iwe rahisi kuvuruga haki za Watanzania
View attachment 2061330