. Ikiendelea hivi mwaka kesho kutakuwa na njaa kubwa. Sijui ndo mabadiliko ya tabia nchi hata haieleweki. Ila tumerejesha mahusiano yetu ya kimataifa. Hatutakosa misaada ya chakula
Tohara tunaiona ni sawa kwakua na wazungu wanafanya. Kila kibaya cha wazungu na mwafrika lazima akione kinaya. Ushajiuliza maumivu yanayotoka wakati wa mwanaume kutajiriwa?
Tohara tunaiona ni sawa kwakua na wazungu wanafanya. Kila kibaya cha wazungu na mwafrika lazima akione kinaya. Ushajiuliza maumivu yanayotoka wakati wa mwanaume kutajiriwa?
sjamaanisha hivyo, tohara kwa wanaume imethibitshwa kitaalamu kwamba akiachwa bla kutahiriwa kuna madhara kiafya. Na weng wao hufanyiwa tohara wakiwa watoto wa mwaka mmoja hapo hata maumivu hawez kuyasmulia.
Niambie kwa hao pichani n madhara gan ya kiafya wanayapata endapo wataachwa na midomo yao mizur kama awali