Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam wanamshikilia mtu mmoja mwenye umri wa miaka 16 ambaye jina lake halijatajwa kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wa miaka 4 na kufariki dunia, tukio ambalo limetokea Novemba 10, 2021 saa 3:00 asubuhi maeneo ya Chamazi Mbande, Temeke.
View attachment 2007570