Vituko mitandaoni. Tupia chako

Namba moja 1
mwalimu wa hesabu alikuwa ananiumiza sana kichwa anaandika ubao mzima bila maelezo kama anafundisha ma genius, afu watu wengine sifaaa eti wanaelewa

,ukimuuliza vipi mwalimu mbona hatujaelewa,anajibu Mtaeleweni tu ninyi daaah!,popote alipo yule Msukuma(Basu) namsalimu kwa jina la jamhuri.

Ilifika wakati ilibidi niwe napishana naye mlangoni anaingia mi natoka

Anauliza ..... Unaenda wapi

Me,kupunga upepo Mwl

Mwl,unaona mi nanuka

Aaaaa sigeuki nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…