Ha ha ha!! Kuna pisi la kwetu Kenya tulikutana South Sudan, nikalinunulia wine nyingi tu na mazagazaga mengine, kufika chumbani likaniambia bila dollars $100 halivui chupi, tuliagana papo hapo.
Hahaha mapenzi hayanaga kabila kamanda mkalie kimya mtu ambaye humpendi au umemchoka! Mtu unayempenda ukimkalia kimya itakula kwako maana utakayeumia ni wewe!
Sasa hapo kwenye hiyo picha naona unataka tu nitaje kabila ili useme nawapendelea wasukuma. Na sitaji sasa.
Ha ha ha!! Kuna pisi la kwetu Kenya tulikutana South Sudan, nikalinunulia wine nyingi tu na mazagazaga mengine, kufika chumbani likaniambia bila dollars $100 halivui chupi, tuliagana papo hapo.