Kweli aisee ukimkalia kimya hakikisha uko serious na siyo kwa kujaribu eti uone kama atakutafuta, wengine hawajaribiwi ukimwaga ugali yeye anamwaga mboga, sasa kama ulikuwa unamjaribu inakula kwako! Ukiamua kumkalia kimya uwe na uhakika kuwa safari hii utamsahau na hautarudi nyuma!