,kama kuvusha bila kutumia labda siku mbili au tatu lakini najua ni vigumu kuamini ila hata sisi ilipomaliza mwaka na ushee ikawa kila tukiwasha tunajua leo siku ya mwisho lakini wapi,ni miezi miwili ya kwanza tu baada ya kujaza ndio ilikaa bila kutumika maana tulisafiri