Tuseme Burundi 🇧🇮 wanawake ni wachache sana, maana Tz avereji ni one man ,faivu wives 🤣......mh president atakutana na wale wanaharakati wa haki za binadamu
Hii ndio shida ya kupanda daladala za kwenda MKATA maana watu na mbuzi wote mnakua abiria na mbuzi huwa anapewa kipaumbele maana analipa nauli kubwa kuliko anayolipa mtu.
Hii ndio shida ya kupanda daladala za kwenda MKATA maana watu na mbuzi wote mnakua abiria na mbuzi huwa anapewa kipaumbele maana analipa nauli kubwa kuliko anayolipa mtu.