Vituko mitandaoni. Tupia chako

SIO KUCHEKESHA, WATU WANARUDIA RUDIA SANA..KESHO UKIINGIA UNAKUTA HII ULIYOPOST HAPA MJINGA MMOJA NAE KAIPOST.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hakuna mtu aliye na muda wa kupitia post zote na kuanza kuchambua kituko kipi kipi kimepostiwa na kipi bado. Mtu unaona kitu huko kinakufurahisha unakiweka kumbe kuna mwingine ameshakiweka jana, juzi au asubuhi wewe hujakiona. Tatizo liko wapi hapo kamanda mpaka unaita watu wajinga?

Tupo hapa kufurahishana tu na kurelax; na mambo siyo siriazi kihivyo bana. Tuvumiliane!
 
Labda mnalipwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…