Wasukuma sisi huku tunaonewa tu mkuu[emoji24][emoji24]
Ila kwenye kupenda ugali...na ushamba kidogo ni kweli [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099]
We acha tu.Huyo zai sasa
Cheki yule jamaa mwenye shati ya mistari anavyomuangalia[emoji16][emoji16]
Jamaa keshakunywa serengeti lite zake mbili, anachokonoa meno taratiiiibu huku anasuguliwa kucha [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Huyu dada anastahili ulinzi haraka sanaView attachment 1929082
A zillion dollars question.[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1929031
Dada wa kazi kutoka Mombasa.Kwahiyo mimi nahusika kuleta nini my dear? View attachment 1929036
[emoji817][emoji3581]Kama nakuelewa hiviii,hawa viumbe hawatabiliki.View attachment 1929034
[emoji106][emoji106]
Dah..basi bwana acha tu niwaachie vijana wakoment[emoji57][emoji19]Dada wa kazi kutoka Mombasa. View attachment 1929293
Mimi japo sina ushabiki wa soccer kivile lakini ni Yanga flani, ujumbe huo ndiyo mtazamo wangu pia."Tukatae tukubali Wenzetu wa Simba SC Kibiashara wametuzidi na hili Wala halihitaji Mjadala hivyo ni Jukumu letu wana Yanga SC nasi Kujitangaza zaidi kwa Mambo na Maendeleo yetu kuliko kila mara Kuizungumzia Simba SC wakati Sisi bado tuna Safari ndefu ya Kufikia pale walipotutangulia"
"Yaani wana Yanga SC Wenzangu tunaacha kutumia Nguvu Kubwa kutangaza Jezi zetu ambazo bado hazijauzika kihivyo Sisi tuko busy Mitandaoni na Vijiweni Kukosoa Jezi za Simba SC ambayo hata Kimafanikio ya Kimpira kwa sasa wameshatuzidi. Huu ni Upuuzi mkubwa na yatupasa kubadilika"
"Nimesikitika sana kuona Leo hii Yanga SC tumemchukua aliyekuwa Msemaji wao Mkuu ambaye ni Mchumia Tumbo na Kumuamini na kuwa nae. Huyu ndiyo Mtu ambaye Kutwa alikuwa akitutukana vibaya wana Yanga SC mpaka Kutudhalilisha leo kwa Upumbavu Wetu na kwa Utashi fulani tumemkaribisha Kwetu"
Ridhiwani Kikwete MB