Ccm ni wahuni tu mkuu, sitaki kuumiza kichwa changu na wahuni, ila siku zao zipo mwishoni. Kuhusu yule dada naona haikua risk yangu mkuu, hakuwahi kuonyesha interest despite msg kibao na Uzi juu ila waapi.usinikumbushe machungu aisee maana zile wiki za mwanzo nilipiga kilaji hatari mpaka nikaja kukaa sawa ilinichukua muda, kuna wakati nilijiapiza siingiu tena JF