Mie,maza simu kalala nayo lakini atakuja akuamshe,simu yangu siioni nipigie kwanza
,hapo inabidi uamke tu
Au utamsikia,mda ushafika wa kuondoka sijakusaidia kazi,amka si inabidi ufue leo au hautafua maana nina nguo chafu,inabidi tu uamke
View attachment 1902103