Teknolojia mpya ya kutumia mRNA iliyotumika kutengenezea chanjo za Korona (Pfizer na Moderna) italeta mabadiliko makubwa katika utengenezaji wa chanjo. Sasa inawezekana kutengeneza chanjo za UKIMWI, Malaria na hata baadhi ya kansa kwa haraka iwezekanavyo...