Vituko mitandaoni. Tupia chako

Najijua kusonga ugali siwezi
. Mtaula mbichi


Ugali nasonga mwisho wakula MTU mbili tu.

Kwasababu Gani......kila nikisonga ugali mama ananiambia haujaiva
Lazima kuna mahali unakosea. Kwenye kusonga ugali hakikisha maji yamechemka sawasawa na ukiweka unga uache utokote kidogo. Na ufokasi. Siyo unapika ugali huku unachati na mabaharia. Lazima utachemsha tu!
 
Vile nikitia unga naona kuchelewa vile niuache uchemke
Ukifuata hizo hatua hapo juu hutapika ugali mbichi au uliofubaa tena.

Nilikuwa na demu wangu Mchaga kila siku yaani ugali mbichi nikafundisha weee mpaka nikachoka ikabidi tu kumpiga chini. Kwangu mimi ni afadhali demu asiwe na tako lakini ajue kupika ugali sawasawa
 

Nimeelewa somo,,,sipendi kula chakula chenye kasoro yaan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…