Lazima kuna mahali unakosea. Kwenye kusonga ugali hakikisha maji yamechemka sawasawa na ukiweka unga uache utokote kidogo. Na ufokasi. Siyo unapika ugali huku unachati na mabaharia. Lazima utachemsha tu!
Lazima kuna mahali unakosea. Kwenye kusonga ugali hakikisha maji yamechemka sawasawa na ukiweka unga uache utokote kidogo. Na ufokasi. Siyo unapika ugali huku unachati na mabaharia. Lazima utachemsha tu!
Mi nimejiwahi nikadaunilodi chap chap. Uko vizuri sana mjukuu wangu. Kila baharia lazima alete pdf huku kwa babu kabla hajaruhusiwa kufika kwa waziri mkuu (PM) wako.
Mi nimejiwahi nikadaunilodi chap chap. Uko vizuri sana mjukuu wangu. Kila baharia lazima alete pdf huku kwa babu kabla hajaruhusiwa kufika kwa waziri mkuu (PM) wako.
Ukifuata hizo hatua hapo juu hutapika ugali mbichi au uliofubaa tena.
Nilikuwa na demu wangu Mchaga kila siku yaani ugali mbichi nikafundisha weee mpaka nikachoka ikabidi tu kumpiga chini. Kwangu mimi ni afadhali demu asiwe na tako lakini ajue kupika ugali sawasawa
Ukifuata hizo hatua hapo juu hutapika ugali mbichi au uliofubaa tena.
Nilikuwa na demu wangu Mchaga kila siku yaani ugali mbichi nikafundisha weee mpaka nikachoka ikabidi tu kumpiga chini. Kwangu mimi ni afadhali demu asiwe na tako lakini ajue kupika ugali sawasawa