Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,755 Reaction score 830,883 Aug 12, 2021 Thread starter #63,201
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,735 Reaction score 76,363 Aug 12, 2021 #63,202 mawardat said: Nitakutumia hapa hapa ondoa shaka Click to expand... Usiniambie!!
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,735 Reaction score 76,363 Aug 12, 2021 #63,203 rukia16 said: Amenishinda tabia kwa kweli ...namgawa kwa mkopo Click to expand... Njoo PM ASAP! Achana na babu yako nitamnunulia kopo la ugoro!!
rukia16 said: Amenishinda tabia kwa kweli ...namgawa kwa mkopo Click to expand... Njoo PM ASAP! Achana na babu yako nitamnunulia kopo la ugoro!!
Taavid JF-Expert Member Joined Feb 7, 2018 Posts 8,321 Reaction score 71,088 Aug 12, 2021 #63,204 Emiir said: Chief, nilikuwa nasalimia kilugha tu! Click to expand... Sasa mbona alikwambia kuwa yupo kwenye ndoa na inaendelea vizuri, salamu gani hiyo mkuu ulimwambia?!
Emiir said: Chief, nilikuwa nasalimia kilugha tu! Click to expand... Sasa mbona alikwambia kuwa yupo kwenye ndoa na inaendelea vizuri, salamu gani hiyo mkuu ulimwambia?!
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,735 Reaction score 76,363 Aug 12, 2021 #63,205 Taavid said: Sasa mbona alikwambia kuwa yupo kwenye ndoa na inaendelea vizuri, salamu gani hiyo mkuu ulimwambia?! Click to expand... We hujawahi kuingia benki ndani ukamsalimia teller na kumuuliza kama jimbo liko wazi? Mimi nishawahi Kwani kumsalimia mdada mzuri na kujua kama Jimbo liko wazi ni kosa!?
Taavid said: Sasa mbona alikwambia kuwa yupo kwenye ndoa na inaendelea vizuri, salamu gani hiyo mkuu ulimwambia?! Click to expand... We hujawahi kuingia benki ndani ukamsalimia teller na kumuuliza kama jimbo liko wazi? Mimi nishawahi Kwani kumsalimia mdada mzuri na kujua kama Jimbo liko wazi ni kosa!?
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,735 Reaction score 76,363 Aug 12, 2021 #63,206 Mndengestani said: Jamaa alikua anatongoza sema Dada rukia16 amesema kaolewa na ndoa yake mzuri tu Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app Click to expand... Nimemtongoza nimemuuliza? Mtu atongozwe hadharani kiasi hicho! Astaghfirullah!! Rekebisha kauli yako chief, usiniwazie mabaya!
Mndengestani said: Jamaa alikua anatongoza sema Dada rukia16 amesema kaolewa na ndoa yake mzuri tu Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app Click to expand... Nimemtongoza nimemuuliza? Mtu atongozwe hadharani kiasi hicho! Astaghfirullah!! Rekebisha kauli yako chief, usiniwazie mabaya!
Taavid JF-Expert Member Joined Feb 7, 2018 Posts 8,321 Reaction score 71,088 Aug 12, 2021 #63,207 Emiir said: We hujawahi kuingia benki ndani ukamsalimia teller na kumuuliza kama jimbo liko wazi? Mimi nishawahi Kwani kumsalimia mdada mzuri na kujua kama Jimbo liko wazi ni kosa!? Click to expand... Sasa mkuu ndio muuambiane kwa kilugha, niliingiwa na mashaka tu nikasema kuna mtu hapa analeta ufisi
Emiir said: We hujawahi kuingia benki ndani ukamsalimia teller na kumuuliza kama jimbo liko wazi? Mimi nishawahi Kwani kumsalimia mdada mzuri na kujua kama Jimbo liko wazi ni kosa!? Click to expand... Sasa mkuu ndio muuambiane kwa kilugha, niliingiwa na mashaka tu nikasema kuna mtu hapa analeta ufisi
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,735 Reaction score 76,363 Aug 12, 2021 #63,208 Taavid said: Sasa mkuu ndio muuambiane kwa kilugha, niliingiwa na mashaka tu nikasema kuna mtu hapa analeta ufisi Click to expand... Mbona kuna watu wanaulizana tena kwa kiswahili, wengine kilugha tena wazi wazi!
Taavid said: Sasa mkuu ndio muuambiane kwa kilugha, niliingiwa na mashaka tu nikasema kuna mtu hapa analeta ufisi Click to expand... Mbona kuna watu wanaulizana tena kwa kiswahili, wengine kilugha tena wazi wazi!
rukia16 JF-Expert Member Joined Feb 27, 2020 Posts 2,978 Reaction score 31,039 Aug 12, 2021 #63,209 Taavid said: Sasa mkuu ndio muuambiane kwa kilugha, niliingiwa na mashaka tu nikasema kuna mtu hapa analeta ufisi Click to expand...
Taavid said: Sasa mkuu ndio muuambiane kwa kilugha, niliingiwa na mashaka tu nikasema kuna mtu hapa analeta ufisi Click to expand...
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,755 Reaction score 830,883 Aug 12, 2021 Thread starter #63,210 Kigego Your browser is not able to display this video.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,755 Reaction score 830,883 Aug 12, 2021 Thread starter #63,211 Your browser is not able to display this video.
rukia16 JF-Expert Member Joined Feb 27, 2020 Posts 2,978 Reaction score 31,039 Aug 12, 2021 #63,212 Taavid said: Sasa mkuu ndio muuambiane kwa kilugha, niliingiwa na mashaka tu nikasema kuna mtu hapa analeta ufisi Click to expand... Kwa hiyo mkuu@Taavid SHIMBA YA BUYENZE kakuokoa sana na tafsiri yake toka gugo
Taavid said: Sasa mkuu ndio muuambiane kwa kilugha, niliingiwa na mashaka tu nikasema kuna mtu hapa analeta ufisi Click to expand... Kwa hiyo mkuu@Taavid SHIMBA YA BUYENZE kakuokoa sana na tafsiri yake toka gugo
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,755 Reaction score 830,883 Aug 12, 2021 Thread starter #63,213
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,755 Reaction score 830,883 Aug 12, 2021 Thread starter #63,214 Your browser is not able to display this video.
Taavid JF-Expert Member Joined Feb 7, 2018 Posts 8,321 Reaction score 71,088 Aug 12, 2021 #63,215 Emiir said: Mbona kuna watu wanaulizana tena kwa kiswahili, wengine kilugha tena wazi wazi! Click to expand... just joking mkuu
Emiir said: Mbona kuna watu wanaulizana tena kwa kiswahili, wengine kilugha tena wazi wazi! Click to expand... just joking mkuu
Taavid JF-Expert Member Joined Feb 7, 2018 Posts 8,321 Reaction score 71,088 Aug 12, 2021 #63,216 rukia16 said: Kwa hiyo mkuu@Taavid SHIMBA YA BUYENZE kakuokoa sana na tafsiri yake toka gugo Click to expand... Shukrani za dhati ziende kwa mkuu Shimba kwa kutukamatia kijana wetu alietaka kuharibu mambo
rukia16 said: Kwa hiyo mkuu@Taavid SHIMBA YA BUYENZE kakuokoa sana na tafsiri yake toka gugo Click to expand... Shukrani za dhati ziende kwa mkuu Shimba kwa kutukamatia kijana wetu alietaka kuharibu mambo
Mawardat JF-Expert Member Joined Apr 27, 2021 Posts 25,997 Reaction score 137,035 Aug 12, 2021 #63,217 Emiir said: Huyu babu yako kila akizeeka iko siku atakuwa mchawi huyu! Click to expand... babu yangu,hawezi kuwa mchawi Babu mfukunyuku
Emiir said: Huyu babu yako kila akizeeka iko siku atakuwa mchawi huyu! Click to expand... babu yangu,hawezi kuwa mchawi Babu mfukunyuku
El murjeb JF-Expert Member Joined Nov 15, 2019 Posts 483 Reaction score 2,126 Aug 12, 2021 #63,218 Qwy said: Lugha ya malkia. Click to expand... Unataka kusemaje,,,?
Mawardat JF-Expert Member Joined Apr 27, 2021 Posts 25,997 Reaction score 137,035 Aug 12, 2021 #63,219 Emiir said: Usiniambie!! Click to expand... Ee sio pm Pm babu anafuga mbwa
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,924 Reaction score 95,729 Aug 12, 2021 #63,220 Musiba kabla sponsor hajafa😁😁😁 Your browser is not able to display this video.