Vituko mitandaoni. Tupia chako

Yeah, hata akifariki dhakari imesimama lazima mwenza aishughulikie. Maiti si kitu cha kukiogopa, ni mila tu ndiyo husababisha watu waogope maiti.

Navyoogopa maiti mpk umri huu nilionao sidhan kama ningeweza kwel kufa nitakufa ila maiti naiogopa sasa ndio kuikatikia si ningezimia kama nikienda misiban tu msiba haunihusu ila nikiona wafiwa wanalia nalia pia daah kwakwel hiyo mila ni udhalilishaj wa marehem tu
 
Pole sana, uoga umeujenga wewe mwenyewe kwenye akili yako.
You can change that taratibu taratibu, ila kwanza ujipe ujasiri kwa kujiambia maiti haiwezi kukudhuru ki namna yoyote ile. Hivi unajua ya kuwa binadamu aliye hai ndiyo anaweza kuwa hatari kwako na si maiti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…