Jamani jamani jamani pale mahali paoneni hivi hivi, pana vibweka pale mwanzo mwisho, na Kama kuna viumbe wana visa vibaya marehemu wanaongoza Kama mtu alikuwa malaya kwenye uhai wake hata akifa maiti yake huwa na pozi zile zile. Mtu katili hufa na ukatili wake na hata pale mochwari maiti yake...