Vituko mitandaoni. Tupia chako

Teh Mtumishi umeanza lini kuniwangia? Aisee upendo wetu una nguvu kuliko hata mauti. Sisi ni till the second coming of Jesus
Haya Mtumishi. Ana bahati huyo bro aliyeokota lulu katika shimo la taka. I hope he knows that. Kabarikiweni sana na matamanio ya mioyo yenu hiyo michanga inayodunda kwa matumaini makubwa na yakatimie...


#MtaachanaTu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…