Vituko mitandaoni. Tupia chako

Imelaaniwa kwa kosa gani?
Congo haijabahatika kupata kiongozi mwenye uchungu na nchi.
Ipo siku watampata.
Hata wakimpata kiongozi mwenye uchungu na nchi ile hatadumu kwa muda mrefu atauwawa tu. Rare minerals kama Cobalt, Titanium na Tungsten zinahitajika sana kwa sasa halafu aje kiongozi eti mzalendo ajaribu kuwazuia wazungu wasiendelee kujichotea. Hatachukua raundi nakwambia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…