Hata wakimpata kiongozi mwenye uchungu na nchi ile hatadumu kwa muda mrefu atauwawa tu. Rare minerals kama Cobalt, Titanium na Tungsten zinahitajika sana kwa sasa halafu aje kiongozi eti mzalendo ajaribu kuwazuia wazungu wasiendelee kujichotea. Hatachukua raundi nakwambia!