We acha tu mjukuu wangu. Hiyo ilikuwa pesa nyingi sana mwaka 1962. Hawa mabaharia wa sasa hawa nikisikia wanalalamika eti wamepigwa hela ya nauli huwa naishia kucheka tu.
Ile hela yangu aliyeila sidhani kama alibakia salama kwa sababu nilihangaika mno kuipata