Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ni kweli wapinzani ndo wanatuamsha kujua tusiyoyajua,ila hatuwezi kuwaunga mkono kwa harakati zao za vitisho dhidi ya serikali inayojaribu kurudisha tabasamu kwa watu wake

Kama watadai katiba kwa njia sahihi tutawaunga mkono lkn sio kwa vitisho mara atake asitake sijui nitamnyoa kwa wembe ule ule, kwasababu wana mahali pa kukimbilia huko ulaya...this is totally insane..safari hii atakayepigwa risasi na afe tuna watu wanatutegemea,tunahitaji amani ili tutimize majukumu yetu ipasavyo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…