Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mtumishi. Ukiona mmeanza kutegea kutafutana basi jua kuwa mapenzi yameanza kuchacha labda kama kuna sababu zingine za msingi. Na kama mko karibu basi mwenzio anaweza kudhani kuwa kwa vile jioni mtaonana basi si lazima akutafute 24/7. Kama ni mapenzi ya mbali basi hapo hakuna wa kulaumiwa kwa sababu kwanza hakuna mapenzi ya mbali isipokuwa utoto tu na kudanganyana
 
Ngoja niongee kwanza na Baba Mchungaji afu ntakurudia na gazeti lako.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…