Nimeiona video ya huyu binti. Mjinga sana yaani. Kashusha Vodka karibu lichupa lizima. Anaweza kupata alcohol poisoning na ini pamoja na figo zikazima pale pale. Ila nimeona mahali wamethibitisha kuwa hajafa ila kalazwa hospitalini. Ujana !!!
Haha, nimeiokota FB, ata sikumbuki, random tu. π π π Lakini waweza printisha yako iliyo na maneno hayo kwa wajomba wa t-shirts printing wale, nafkiri hawakosi huko