Vituko mitandaoni. Tupia chako

Pole kamanda. Heka heka za kawaida hizo kwa mabaharia. Uliendelea naye au ulizidiwa ukapiga chini?
 
Hayo ni mambo ya kawaida mkuu hasa kwa vijana wa kiume, nakumbuka nishawahi mfungia mtu safari mpaka Singida, nilitobolewa mfuko vilivyo nikakosa hadi nauli nimefika kituoni nkaanza kuchangisha watu wapo dar
Ulifanikiwa lakini kilichokupeleka? Hilo ndo la muhimu. Hiyo pia iliwahi nitokea. Nilifuata jimama Mbulu huko halafu ikawa majira ya mvua na baridi kali. Jimama lilikuwa moto hatari nikanogewa mpaka na nauli nikaila ikaisha. Kurudi nyumbani ilibidi kutumia akili za kuzaliwa aisee
 
mission kama hizo lazima ufanikiwe! Ila huko kwa wambulu ilikuwa haki yako kabisa kula hadi nauli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…