Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hapa ndio hawa Jamaa wanatupiga kila leo,tunajidharau wenyewe hatuamini kuwa tunao uwezo zaidi yao.

Kila binadamu amezaliwa na mwanamke,hakuna binadamu aliyekuwa sokwe,then akawa binadamu.

Leo ukiona nchi zetu hatuwezi simamia lasilimali zetu kikamilifu,maana tuna kaakili ka kitumwa tumwa(sorry about that).

Jiulize leo nchi hii kwanini hatupigi hatua kubwa kimaendeleo kama nchi zaidi ya individual?!

Wezi wengi ni kina nani?
Magereze yetu yamejaaa kina nani?
Ukombozi wa mwafika,utakombolewa na mwafika pindi akijua anaweza kusimama mwenyewe bila utegemezi(misaada nk).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…