Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,945
Hapo ndipo nilkuwa nakatiza bila aibu, ukitaka kunipiga baadaye wakati nimeshiba lakini! π€£ π€£ π€£ Nlkuwa sugu kweli, Duh... Cheza na chakula wewe! π[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 1795285
Masharobaro hawakosekani mkuu[emoji16][emoji16]Sharo, bado wako? [emoji23]
Maisha ya shule yalikuwa magum sana hasa kwenye chakula[emoji1]Hapo ndipo nilkuwa nakatiza bila aibu, ukitaka kunipiga baadaye wakati nimeshiba lakini! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nlkuwa sugu kweli, Duh... Cheza na chakula wewe! [emoji16]
Hii part Scofield aliicheza kwa ubora wake aisee, huyu jamaa kweli expert wa maigizo... If you know, you know!!! πππ[emoji23][emoji23]View attachment 1795286
π π
Mh, hapa wala mpaka nanihino! ππΎ ππΎ ππΎ πChombeza kidogoView attachment 1794895
Alafu iwe ni siku ya wali-maharagwe, hehehe, hapo kikiisha mnagojea 1 hr, ndio mpikiwe Ugali-mlenda... Walikuwa wahuni wapishi!!! π€£ π€£ π€£ π€£(first come first serve Lakini majamaa Ni survival for the fittest)Maisha ya shule yalikuwa magum sana hasa kwenye chakula[emoji1]
Siku ya wali ndio huwa watu wanakosa chakula hata wapike masufuria mangapi[emoji28][emoji28]Alafu iwe ni siku ya wali-maharagwe, hehehe, hapo kikiisha mnagojea 1 hr, ndio mpikiwe Ugali-mlenda... Walikuwa wahuni wapishi!!! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787](first come first serve Lakini majamaa Ni survival for the fittest)
Hapo kikinuka kila mtu anajua la kufanya! π€£Wafungue kambi ya ulinzi [emoji23][emoji23]
Mnaoitwa John mtanisamehe
Nikajua ni mimi tu....
Lazima ujifanye hutak kidogo[emoji16]Nikajua ni mimi tu....
Vipi wajomba? π
Nimecheka hadi nimetoa chozi hahahahhahahaVimbaumbau hii ni kweli? [emoji2099][emoji2099][emoji2099]View attachment 1794578