Hapo ndipo nilkuwa nakatiza bila aibu, ukitaka kunipiga baadaye wakati nimeshiba lakini! π€£ π€£ π€£ Nlkuwa sugu kweli, Duh... Cheza na chakula wewe! π
Alafu iwe ni siku ya wali-maharagwe, hehehe, hapo kikiisha mnagojea 1 hr, ndio mpikiwe Ugali-mlenda... Walikuwa wahuni wapishi!!! π€£ π€£ π€£ π€£(first come first serve Lakini majamaa Ni survival for the fittest)