Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hakuna chakula nakionaga kitamu kama nilichokiandaa mwenyewe
Kwa hiyo unapingana na wanasaikolojia? Mimi nilifikiri pengine, mbali na mambo mengine, ni ile ishu ya kuonja ukiwa unapika mwenyewe. Ukishakionja basi ule mzuka unakata unakiona kuwa cha kawaida tu, kinyume na cha mpishi mwingine unachotengewa tu kwa mara ya kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…