Nafahamu sana utani baina yenu kwenye ushindani wa Yanga na Simba, binafsi nikiwa Tanzania nilikua shabiki wa Yanga na tuliwazingua sana wana Simba enzi zile za mtani jembe.
Hata hivyo ni kawaida kwa timu ya ndani ikienda kupambana kimataifa, kila mmoja anaishabikia...anyway poa poa.