Vituko mitandaoni. Tupia chako


. Hii inahitaji falsafa jumuishi, malengo ya pamoja na uongozi imara. Umenikumbusha komedi moja ya mwandishi mashuhuri wa tamthiliya wa Ugiriki ya kale aliyeitwa Aristophanes. Katika tamthiliya yake ya kupinga vita ya Lysistrata, wanawake wote waligoma kufanya ngono na wanaume wakidai kuwa walikuwa wamechoshwa na mapigano na wakataka kukomeshwa kwa vita vya Peloponnesian. Na kweli haikuchukua muda vita vilikoma mara moja na amani ikapatikana. The power of p*ssy!

Ila kuwafanya walevi wote wagome kunywa pombe aisee itakubidi ufanye kazi ya ziada. La washabiki kutokwenda uwanjani linawezekana kabisa. Kwenye Covid mbona viwanja vilikuwa vitupu? Tuanze tu kampeni mapema
 
mgomo wa walevi hautakaa ufanikiwe...ogopa kitu kinaitwa kiu na hamu ya ugimbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…