nimecheka sana dah!! Huo ujinga unatokea sana inabd uwe makini sana unapotumia projector kwa pc yako unapokuwa darasan, make sure ujinga ujinga wote upo closed!! Kama hii ilitokea wkat wetu pia, tulikuwa tunatumia pc ya jamaa sasa kuna player nlkuwa najaribu kuifunga sijui ikawaje ika pop up halafu jamaa alikuwa anaangalia vitu vyetu, mara pc nayo ikaganda hapohapo (si unajua vi dual core tena vimejazwa vitu kibao vinakuwa vizito) dah ilikuwa aibu sana aisee, ikabd tuchomoe waya fasta ili kila kitu kilkuwa kimeonekana
nimecheka sana dah!! Huo ujinga unatokea sana inabd uwe makini sana unapotumia projector kwa pc yako unapokuwa darasan, make sure ujinga ujinga wote upo closed!! Kama hii ilitokea wkat wetu pia, tulikuwa tunatumia pc ya jamaa sasa kuna player nlkuwa najaribu kuifunga sijui ikawaje ika pop up halafu jamaa alikuwa anaangalia vitu vyetu, mara pc nayo ikaganda hapohapo (si unajua vi dual core tena vimejazwa vitu kibao vinakuwa vizito) dah ilikuwa aibu sana aisee, ikabd tuchomoe waya fasta ili kila kitu kilkuwa kimeonekana