Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ni kweli kamanda, mwanadamu ni kiumbe aliyejaa hila, choyo, wivu, husda, tamaa nk.
Kuna watu wengi wasiopenda kuona kuinuka kwa wengine.
Wengi tunapenda kuona kuanguka kwao, ilikuwa hivyo pia hata kwa mzee Ali Hassan Mwinyi wakati analazimishwa kujiuzulu uwaziri kwa kashfa zilizofanywa na wengine.
Lakini baadaye akainuka mpaka juu kabisa.
Yaweza kuwa hivyo pia kwa mwingine, lakini ni vema kuyaishi maisha ya siasa kwa adabu. maana hatujui kesho yetu itakuwaje
 
Ukiona mamia ama maelfu wanashangilia anguko lako, jitafakari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…