Jamaa yetu bado haamini kilichotokea.
Ukuu wa Mungu unaonekana hapa.
Katibu Mkuu wa CCM, mara
Katibu Mkuu Kiongozi, mara
Mbunge asiye na Jimbo.
Muda mfupi tu kila kitu kimefanyika na haamini kilichotokea.
Kama ni mchamungu hatasumbuka.
Kama alikuwa mjivuni na kiburi kwa sababu ya hivyo vyeo lazima atateseka.
Tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kila jambo.
View attachment 1761914