Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mfanyakazi wa hifadhi ya taifa ya Malakere, "Malakere National park" nchini Afrika kusini, Malibongwe Mfile mwenye miaka 27 Ameliwa na Simba ndani ya hifadhi hiyo wakati akiwafuatilia Chui waliofungwa vifaa maalum "tracking devices" ambazo zinatambua mahali walipo.

Bwana Mfile alikuwa pekee kwenye pori hilo akiwa anaendesha gari aina Jeep, aliposhuka Simba hao walimvamia na kumla.
Hata hivyo Simba hao wawili wameuwawa
 
Simba hawana makosa. Wameonewa !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…