Huko china kuna baadhi ya maeneo, wanachemsha mayai kwa kutumia mkojo wa vijana wakiume mabikra (ambao hawajawahi kufanya mapenzi). Wanaamini kwamba husaidia kiafya huzuia kupata kiharusi n.k.
Utafiti uliofanywa na Dr. Becky Lynn wa Shule ya Tiba ya Chuo Kikuu cha Saint Louis, Mwanamke anayevuta Bangi kabla ya kushiriki tendo la ndoa anauwezo wa kuwahi kufika kileleni haraka zaidi.
Kwani picha na maelezo yanaendana au🤔
kwani Mada inasemaje Member? na post zilizowekwa hapo mnaamini kuwa Unaambiwa katika kundi la wanawake sita, basi mmoja wapo hajawahi kufika kileleni.
Tafiti: Kufanya mapenzi na kunywa pombe ndio vitu vinavyoongoza kumpa mtu furaha kuliko kuwa na watoto.
yupo mwingine anaamini jani
sasa mm naamini ni usingizi kwenye godoro linanimaliza kuliko pombe Karibuni na ninyi muweke vituko Mitandaoni labda mleta Mada aniambie hapo sio