Vituko mitandaoni. Tupia chako

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ anapata nafuu ya maumivu mengi aliyonayo rohoni mwake.. Ni kijana aliyepigika kimaisha na kifikra na anadhani madhila yake yamesababishwa na MimiπŸ˜‚
Wewe ungekua vizuri kimaisha ungekuwa unatukana tukana watu ovyo kwenye simu zao. Mzee wa ovyo kabisa huna lolote wewe unafikiri kuwa maarufu hapa mtandaoni kila unachoshauri na kuongea ni lazima watu wakifuate umekuwa nani wewe? Kafie mbele huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…