Nafanya photographer
Nachora
Nafanya Sanaa za za mabox
Fundi vifaa vya electronics
Software za simu na
Hardware
Hivi vyote nimefanya na baadhi ndo paka Sasa vinaniweka mjini
Ndoto zangu.
Nimiliki camera kubwa ya kuanzia m1 napenda sana kupiga picha
Kwanini camera kubwa kwasababu naamini camera itabaki kuwa na thamani siku zote kwenye kupiga picha na naamini naweza kuifanya ikawa inaniingizia kipato.
Shida inaanzia kwenye kichwa cha uzi!, darasa lako la saba tu tayari unatusimanga haya ukipata hiyo kamera ya million moja si ndo utatukoa makwenzi wewe...?!!
Nafanya photographer
Nachora
Nafanya Sanaa za za mabox
Fundi vifaa vya electronics
Software za simu na
Hardware
Hivi vyote nimefanya na baadhi ndo paka Sasa vinaniweka mjini
Ndoto zangu.
Nimiliki camera kubwa ya kuanzia m1 napenda sana kupiga picha
Kwanini camera kubwa kwasababu naamini camera itabaki kuwa na thamani siku zote kwenye kupiga picha na naamini naweza kuifanya ikawa inaniingizia kipato.
Ngoja nikwambie namba 1, wewe hujui kupiga picha, pili hapo kwenye mabox yako bado sana kiwango cha kuanza kututambia humu.
Cheki hizo camera angles hiyo art ilipochukuliwa, siku ukifika hii level hata salama hutatusalimia ewe LASABA C.
Shida inaanzia kwenye kichwa cha uzi!, darasa lako la saba tu tayari unatusimanga haya ukipata hiyo kamera ya million moja si ndo utatukoa makwenzi wewe...?!!