Vituko mitandaoni. Tupia chako

Nimefurahishwa na harakati zake anafanya kimya kimya, sio kama enzi zile za kina riz, kila mtu alikua anamjua mtoto wa rais mpaka akatungiwa na wimbo.
Huyu kati ya kumi anaye mjua ni mmoja ila nyuma ya ni mtu wa kuchukuliwa kwa tahadhari sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…