Nishawahi lala njaa siku moja first year mbona nililia na uzi nikaleta humu ndani sio kwamba sikula la hasha nilikula makande sema ndo hivyo sikushiba alafu yalikuwa mabaya yaani cha mtu mavi nimeamini.
Sasa ivi namshukuru Mungu nakula utamu utam ๐๐.
Nikipata chance ya kuiba kazini lazima nipite nayo you never know chakula na pesa tamu bana ๐๐๐
Huyu mbibi inaonekana ana bonge la bwawa kutokana na wanaume wengi kumkojolea na sio mchoyo wa kugawa mwanamke wa hivi hapana kwa kweli. Ni kujidhalilisha hata kutembea naye ptuuu ๐คข๐คฎ๐คฎ
Hapana usidanganyike hakuna wanawake wenye demand kubwa,, kama hao wazuri kila mwanaume anamtaka and bad enough tushaambiana kuwa wengi wako single hivyo kila mtu anataka kutest zali.
Ni bora uchape usepe ili usije ukapata magonjwa ya moyo ๐๐