Vituko mitandaoni. Tupia chako

Nchi ngumu sana hii sometimes ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ

View attachment 3039234
Mwalimu ana hoja๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Asikilizwe๐Ÿคฃ๐Ÿšถโ€โ™‚๏ธ๐Ÿšถโ€โ™‚๏ธ
 
Sema umasikini mbaya sana sana.

Nishawahi lala njaa siku moja first year mbona nililia na uzi nikaleta humu ndani sio kwamba sikula la hasha nilikula makande sema ndo hivyo sikushiba alafu yalikuwa mabaya yaani cha mtu mavi nimeamini.

Sasa ivi namshukuru Mungu nakula utamu utam ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€.

Nikipata chance ya kuiba kazini lazima nipite nayo you never know chakula na pesa tamu bana ๐Ÿ˜๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ