Vituko mitandaoni. Tupia chako

Nakumbuka tulivyokua olevel kuna siku mwalimu wa sayansi akauliza "manii ya mwanaume yana rangi gani" nikachaguliwa kujibu nikasema ina rangi nyeusiπŸ˜‚
Wenzangu walinicheka sanaa
Hahaha..........pole sana

Kwahiyo saivi ukiulizwa hivyo unaweza kuwa na majibu Kwamba yana rangi gani?

Kweli Babu nimekuza Mjukuu πŸ€—
 
Sasa hivi jibu ninalo
Kuna mwenzio darasani fomu thrii mwalimu alisema eti manii kimsingi ni maji na sukari binti mmoja akaropoka eti "Mwalimu siyo kweli. Mbona sasa zina chumvi chumvi na siyo tamu kama zina sukari?"

Darasa zima pamoja na mwalimu wakabaki midomo wazi 😁😁😁
 
Hatari πŸ˜…

Ila Kuna watu wanaanza kula mema ya Nchi kitambo, imagine fomu thrii anajua hadi Ladha yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…