Vituko mitandaoni. Tupia chako

Shangazi umeamua uandike essay kabisa 😆 nakupa 22/25 😁.

Na umenikonyeza juu 😎
. Asante kwa maoni lkn 😘
 
Shangazi umeamua uandike essay kabisa 😆 nakupa 22/25 😁.

Na umenikonyeza juu 😎
. Asante kwa maoni lkn 😘

Mie ni bibi na wewe ni mjukuu, kwenye ushangazi nilishavuka.

Basi tuu nilijiluta tuu kalamu inaandika tuu kuja kustuka kurasa umejaa...

Al-kumradhi mjukuu, sikunuia kukukonyeza huwa naweka emoji sana kila niandikapo na sizilengi kwa yeyote bali ni sehemu tuu ya lugha ya uandishi.
 
Mjukuu nilishakupa offer. Ukitaka kuoa lazima unitafute nikupe mwongozo. Vinginevyo utakuja kupigwa na kitu kizito sana ndoa yako hata mwezi isimalize!
Kwa dunia ya sasa ni vigumu sana kuoa asee.

Mambo ninayoshuhudia mtaani kwenye mahusiano ya watu yanatia mashaka sana. 😓

Rafiki yangu anasoma muhimbili alitongozwa na mke wa mtu and mind you aliwahi date na mwanae anayemaliza F4 this year all because mme wake si mtu wa kushinda home yy anakaa hata week 3 haji nyumbani hili jambo linafikirisha sana 🤤😪

Ila namuomba Mungu nipate mke mwema kama wa Robert Heriel Mtibeli 😁
 
Sasa mnataka nini? Sura nzuri ila flat skrin....tandan( tako) sura ya baba.
Sura + flatscreen

Kusema ukweli ukimkojolea demu mwenye sura nzuri dopamine receptors zinakuwa stimulated sana yaani ni raha sana kuliko dem mwenye shep na sura mbaya speaking from experience.

Kuna kitu kitamu unahisi yaani i cant explain 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…