Habari zake yule hazifai kuelezwa kwa ufupi, lakini nitajitahidi.
Kwangu mimi alikua ni Rais wa ndoto zangu.
Taifa letu lilili hitaji kiongozi wa aina ya magufuli, bahati mbaya upande wetu hakumaliza uhitaji wetu.
Ila binafsi naamini ipo siku tutajaliwa tena kiongozi kama yeye na atafikisha taifa sehemu sahihi.
Kwa ufupi maendeleo ya mtu yoyote, taasisi yoyote ama taifa yanahitaji mtendaji ama kiongozi mwenye nidhamu na uthubutu.
Ambae atawaongoza katika nidhamu na kuthubutu, nidhamu katika yote na kuthubutu katika yote.
Magufuli aliweza hayo.
Kama unamzungumzia papa Papa mtoe Benedict mkuu, yule baba ukimsoma ni mtu alieliacha kanisa kitu cha kipekee, sema tu wakati huwezi kubisha nao lakini alikuwa na rufaa mno.