Hapa Afrika us...ge mtupu.
Halafu kitakuja kijitu kikwambie eti shida za Afrika yote ni CCM.
Shida ya Afrika ni wafrika wenyewe.
Wasomi, Viongozi wa Dini, Wananchi wote Utopolo.
Tumekalia ngono na ulozi tu.
Msomi na maamuma wote akili zao zinafanana.