Haya majina unaweza kuyajua maeneo ya kuogelea mtoni. Kimangare, kwa wasichana, kwa shetani, kitoshoni,kwa alani karibu na chuo cha ttc... πππumenikumbusha mbali sana. Tulikua tunabembea maeneo hatari sana. Kwenye kamba za miti unatoka ng, ambo hadi ng'ambo..... Hadi naikumbuka analogy. Ila Muumba wetu katutoa mbali sanaβ₯