Vituko mitandaoni. Tupia chako

Dear Ex..natamani ushambuliwe na nyuki..unapojaribu tu kutoroka gari linakugonga..wakiita ambulance basi ipate ajali na lori ambalo litaisukuma mtoni..then ukuliwe na samaki..samaki huyo huyo atakamatwa na mvuvi ambaye atauza

kwangu mimi. na Nikifika kukaanga samaki nitalala nikisahau kuwa nakaanga hadi kuungua.. kisha nitupe kwenye pipa ili mbwa wa jirani zetu aweze kumtunza.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke sio mtu wa kumuamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…