Nilikua kwa ndugu zangu huko likizo moja, sikuona hata wakipika tambi, au ndizi au viazi au chips.. Kila siku ugali na wali tu😒😒, Tena Ugali ni mgumu jamani
Katika utamaduni huu, ikiwa una nia ya kuoa mke wa pili, mke wa kwanza na mke wa pili unaetaka kumuoa, watatwanga mahindi kwenye kifua chako.. Ukistahimili uchungu huo, utaoa mke wa pili.. Nafikiria mke wa Kwanza nguvu atakazotumia
Katika utamaduni huu, ikiwa una nia ya kuoa mke wa pili, mke wa kwanza na mke wa pili unaetaka kumuoa, watatwanga mahindi kwenye kifua chako.. Ukistahimili uchungu huo, utaoa mke wa pili.. Nafikiria mke wa Kwanza nguvu atakazotumiaView attachment 2864689