Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kwa sasa wamefanikiwa kwa zaidi ya nusu kufanikisha mjadala wa agenda zao katika jamii nzima, vyombo vikubwa na vidogo vya habari vinajadili habari zao, jamii na imani za kidini kupitia tamko la papa zinajadili habari zao, kanisa kwa ujumla wake linajadili habari zao.
Kwa mtindo huu sio muda wanakua wamefanikisha ajenda yao kwa jamii yote na mwisho wa siku inakuwa homosexuality inakuwa sio kitu kisichokuwa cha kawaida na kuwa kitu cha kawaida!

Pope sijui kama akitafakari kwa kina juu ya hii issue.
 
Kwakuwa wakati anakutongoza ulisumbua sana.
Unaposumbua wakati wa mtongozano mwanaume anadhani K yako ina maajabu mengi.
Baada ya kukula anagundua huna maajabu yoyote.
Anaanza kujutia gharama alizopoteza ili akupate.
Mwisho anajiona boya mbele yako, anasepa na kukuachia mawazo yaliyojaa maswali mengi kichwani kwako.
 
Habari ya upande mmoja.
Kisa hiki kinafanana kidogo na kisa cha mtangazaji wa IPP Media Ufoo Saro na aliyekuwa mzazi mwenzake.
Wanawake wa kichaga ni changamoto.
 
Mwanaume wake , wengine ndio anakuganda hivyoooo unajuta kwann umempa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…